Deuteronomy 12:7-8
7 aHapo, katika uwepo wa Bwana Mwenyezi Mungu wenu, ninyi pamoja na jamaa zenu, mtakula na kufurahia kila kitu ambacho mmegusa kwa mikono yenu, kwa sababu Bwana Mwenyezi Mungu wenu amewabariki. 8 bMsifanye kama tunavyofanya hapa leo, kila mtu anavyopenda mwenyewe,
Copyright information for
SwhKC