Deuteronomy 12:7-8

7 aHapo, katika uwepo wa Bwana Mwenyezi Mungu wenu, ninyi pamoja na jamaa zenu, mtakula na kufurahia kila kitu ambacho mmegusa kwa mikono yenu, kwa sababu Bwana Mwenyezi Mungu wenu amewabariki.

8 bMsifanye kama tunavyofanya hapa leo, kila mtu anavyopenda mwenyewe,
Copyright information for SwhKC